Email: info@ajiraexpress.com

Nafasi za Kazi Wizara ya Afya 2025

Nafasi za Kazi Wizara ya Afya 2025


Maelezo: Wizara ya Afya imetangaza nafasi mpya za kazi kwa mwaka 2025. Tuma maombi kwa nafasi za madaktari, wauguzi, na watendaji wa afya.

Maelezo Kuhusu Nafasi za Kazi

Wizara ya Afya kupitia Sekretarieti ya Ajira imetangaza nafasi za kazi kwa watanzania wenye sifa. Nafasi hizi zinahusu kada za afya zikiwemo:

  • Madaktari (General & Specialists)
  • Wauguzi
  • Wasaidizi wa Maabara

Jinsi ya Kutuma Maombi

Waombaji wanatakiwa kutuma maombi yao kupitia mfumo wa ajira wa AJIRA Portal kabla ya tarehe 15 Juni 2025.

👉 Bonyeza hapa kutuma maombi: portal.ajira.go.tz

👉 Tazama pia: Nafasi nyingine za kazi hapa

Nafasi za kazi wizara ya afya 2025

Mahitaji ya Waombaji

Waombaji wanapaswa kuwa na:

  • Cheti cha kitaaluma (degree/diploma)
  • Barua ya maombi
  • CV iliyowekwa sahihi
  • Nakala ya vyeti vya shule na kuzaliwa

Maswali ya Mara kwa Mara (FAQ)

1. Je, maombi ni ya online pekee?
Ndio. Tuma kupitia AJIRA Portal.

2. Mwisho wa kutuma maombi?
Tarehe 15 Juni 2025

Apply for this job

Leave your thoughts

Share this job

Donec elementum tellus vel magna bibendum, et fringilla metus tristique. Vestibulum cursus venenatis lacus, vel eleifend lectus blandit a.

Contact Us

Ajira Express Africa.
Westlands, Nairobi, Kenya.
info@ajiraexpress.com
https://ajiraexpress.com

Contact Us

JobMonster Inc.
54/29 West 21st Street, New York, 10010, USA
contact@jobmonster.com
http://jobmonster.com